Saturday, January 10, 2015

AJALI MH. SUGUMbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo, ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo. 
kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. 
katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
AJALI MH. SUGUMbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi (watatu kushoto) akizungumza namna hali ilivyokuwa mpaka kupata ajali hiyo.
AJALI MH. SUGU
Gari hiyo inavyoonekana.
AJALI MH. SUGU

Saturday, January 3, 2015


Jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto
"Nina kukubali uwezo wako kiushauri na kiuzoefu,Umejaliwa!!..Mimi ni kijana wa kiume  mwenye umri wa miaka 27,nina mchumba wangu na tuko kwenye harakati za kufunga ndoa.



Tatizo langu ni hili: Napenda sana first born wangu awe wa kike;[tei tei.....],na ninasikia kuna namna fulani ya kuweza kupanga jinsia ya mtoto japo ni kwa majaliwa ya mungu.


NIFANYEJE???? Naomba unisaidie jamanii!! Wako B.Z"

*****************************

Dinah anasema: Ahsante, Nashukuru sana. Ni kweli kuna namna ya kuchagua Jinsia ya mtoto kabla Mimba haijatungwa lakini bado haijathibitishwa Kisayansi/Kitaalam.


Kupata mtoto wa Kike sio ngumu sana kama ilivyo kwa mtoto wa kiume + inategemea zaidi kwenye uwingi wa jinsia hiyo upande wako(familia ya mwanaume).


Mbegu zinazosababisha mtoto wa kike "hutembea" taratibu kuelekea kwenye Yai na huishi kwa masaa 72-Wiki....hivyo wewe na mkeo hamtahitaji kusubiri "tarehe" maalum.


Kama kwenu au kwa baba mdogo/ mkubwa kuna wanawake wengi basi unaweza ukafanikiwa kupata Binti bila taabu kabisa.

Ila epuka kufanya mapenzi tarehe ambazo mkeo ajae anakaribia kupevusha Yai....fanya mapenzi baada ya hedhi na wiki mbili baadae.


Mbegu zinazosababisha mtoto wa kiume zipo "faster" na hufa haraka, hivyo kama unataka mtoto wa kiume inabidi kutegea "tarehe" maalum ili Mbegu iliwahi yai likiwa njiani...


Japokuwa suala la mtoto wa kiume linategemea zaidi upande wa Mwanamke, ikiwa kwako kuna wanaume wengi au idadi sawa na wanawake, urahisi wa kupata mtoto wa kiume ni kubwa.


Sehemu ya maelezo yangu ni kutokana na uzoefu wangu binafsi, tulipotaka mtoto wa kwanza awe wa Kiume tulikuwa tunafanya kwa kufuata "tarehe" maalum + mikao maalum(hakuna kifo cha mende wala vijiko)!!


Mtoto wetu wa Pili ambae ni wa kike, hatukufuata "tarehe" maalum...

Kifamilia, idadi ya wanaume kwetu ni kubwa kuliko wanawake.

Wengine wataongezea...
Mapendo tele kwako 
Imekuwa kama utamaduni kwa wanafunzi kupiga picha za utupu ili wawatumie mahawara zao sasa sijui ni ushamba ama ni ulimbukeni kwa hawa dada zetu ambao bado wanazidi kundelea kwa kasi ya ajabu bila hata aibu ya yeye mwenyewe na jamii inayomzunguka...!!

Unordered List

Sample Text

Ordered List

HTML Table

Powered by Blogger.

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget